MCHEZAJI wa Timu ya Wazee wa
Chake Chake aliyejulikana kwa jina moja tu kisoda mwenye mpira, akitafuta mbinu
za kumpita mlinzi wa timu ya ZAWA, mchezo huo uliopigwa katika kiwanja cha Wawi
Ster huku timu hizo kufungana goli 1-1.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO
MAHALI PA KAZI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni
ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibit...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment