DAKTARI dhamana wa Hospitali ya Chake Chake Dk
Yussuf Hamad Iddi, akitoa shukurani zake kwa uongozi wa ZAWA Pemba na Mkuu wa
Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud, baada ya kupatiwa msaada
katika wodi ya Watoto.(Picha Na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
KAIMU Mkurugenzi Mamlaka ya Maji ZAWA Tawi la Pemba,
Mhe:Juma Ali Othman, akizungumza na uongozi wa Hospitali ya Chake Chake ugonzi
wa ZAWA ulipofika kwa lengo la kutoa zawadi kwa wodi ya Watoto katik hospitali
hiyo, katika shamra shamra za wiki ya Maji Duniani.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Maji ZAWA Tawi la Pemba,
wakiwa msikiliza mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud
wakati alipokuwa akizungumza na viongozi wa Hospitali ya Chake Chake na ZAWA
baada ya kupokea zawadi za wodi ya Watoto zilizotolewa na ZAWA.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim
Massoud, akizungumza na watendaji wa Hospitali ya Chake Chake na ZAWA Pemba,
mara baada ya kupokea zawadi kwa Wodi ya Watoto katika hospitali hiyo, ikiwa ni
maadhimisho ya wiki ya maji Duniani.(Picha
Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim
Massoud , akimkabidhi boksi la biskuti Daktari dhamana wa Hospitali ya Chake
Chake DK Yussuf Hamad Iddi, zilizotolewa na Mamlaka ya maji Pemba, ikiwa ni
maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani.(Picha
Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud
, akimkabidhi ndoo maalumu za kutilia taka Daktari dhamana wa Hospitali ya
Chake Chake DK Yussuf Hamad Iddi, zilizotolewa na Mamlaka ya maji Pemba, ikiwa
ni maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani.(Picha
Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim
Massoud, akimkabidhi Biskuti na maji, mama wa mtoto aliyelazwa katika wodi ya
watoto ndani ya Hospitali ya chake Chake ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Mji
Duniani.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim
Massoud, akimfariji mtoto Ilham Ali Omar aliyelazawa katika wodi ya watoto
ndani ya Hospitali ya chake Chake ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Mji Duniani.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MTOTO Mahir Matar Sarahan akipokea zawadi ya Biskuti
kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud, wakati
alipokwenda kutoa zawadi kwa watoto waliolazwa katiak wodi ya watoto ndani ya
hospitali ya Chake Chake ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Mji Duniani.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment