Habari za Punde

Ligi ya Nane Bora Wilaya ya Mjini Muembeladu na Miembeni City imeshinda 2--0.









 Mashabiki wa timu ya Muembeladu wakishangilia timu yao ili kupata ushindi ikiwa nyuma kwa mabao 2--0 dhidi ya timu ya Miembeni City.
Wachezaji wa timu ya Muembeladu wakimlalamikia Muamuzi wa Mchezo huo kwa uchezeshaji wake wa upendeleo kwa timu ya miembeni wakati wa mchezo wao wa kutafuta Bingwa wa Wilaya ya Mjini Daraja la Pili, uliofanyika katika uwanja  wa Amaan Zanzibar timu ya Miembeni imeshinda 2--0..

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.