LICHA ya Mvua zinazoendelea
kunyesha kisiwani Pemba, suala la usafi wa miji limekuwa likipewa uzito wa hali
ya Juu, pichani gari la baraza la mji Chake Chake likibeba taka katika maeneo
ya katikaki ya mji kama lilinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
12 hours ago
0 Comments