LICHA ya Mvua zinazoendelea
kunyesha kisiwani Pemba, suala la usafi wa miji limekuwa likipewa uzito wa hali
ya Juu, pichani gari la baraza la mji Chake Chake likibeba taka katika maeneo
ya katikaki ya mji kama lilinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
-
Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wenye umri wa
kwenda shule mlo wa asubuhi kabla hawajaenda shule. Rai hiyo imetolewa na
Mkurugenzi...
36 minutes ago

No comments:
Post a Comment