LICHA ya Mvua zinazoendelea
kunyesha kisiwani Pemba, suala la usafi wa miji limekuwa likipewa uzito wa hali
ya Juu, pichani gari la baraza la mji Chake Chake likibeba taka katika maeneo
ya katikaki ya mji kama lilinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Dkt.Temba awaunganisha vijana Kenya, wampongeza Rais Dkt.Samia na Ruto
-
NA MWANDISHI WETU,NAIROBI
VIJANA nchini Kenya wamewapongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri...
1 hour ago
0 Comments