LICHA ya Mvua zinazoendelea
kunyesha kisiwani Pemba, suala la usafi wa miji limekuwa likipewa uzito wa hali
ya Juu, pichani gari la baraza la mji Chake Chake likibeba taka katika maeneo
ya katikaki ya mji kama lilinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
TAASISI YA ELIMU TANZANIA,KAMPUNI YA JOLLY FEATURES WAANDAA MAFUNZO KWA
WALIMU SHULE YA MSINGI
-
Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania
(TET) kwa kushirikiana kampuni ya Jolly Features wameandaa mafunzo kwa
walimu wa sh...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment