LICHA ya Mvua zinazoendelea
kunyesha kisiwani Pemba, suala la usafi wa miji limekuwa likipewa uzito wa hali
ya Juu, pichani gari la baraza la mji Chake Chake likibeba taka katika maeneo
ya katikaki ya mji kama lilinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAKANDARASI MIRADI YA UMEME TANGA ,WATAKIWA KUONGEZA KASI YA HUDUMA KWA
WATEJA
-
[image: 📌]Vijiji vyote 763 sawa na asilimia 100 vimeshapata huduma
ya umeme Tanga
[image: 📌]Vitongoji 2,382 sawa na asilimia 52.6 vimeshapata h...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment