Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni.
KIMARO AGUSWA HARAMBEE YA CCM,ACHANGIA MILIONI 20.
-
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfanyabiashara maarufu jijini
Arusha,Ndugu Nathan Kimaro ametoa kiasi cha shilingi milioni 20 kama sehemu
ya mchango w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment