MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya watu wa Zanzibar, PBZ katikati akizungumza na wateja wake, mara baada ya kuhudhuria futari ya pamoja ilioandaliwa na benki hiyo Idara ya Kiislamu, tawi la Pemba, kulia ni mjumbe wa kamati ya sharia ya Idara hiyo, dk Mohamed Hafidh Rajab na kushoto ni Mwenyekiti wa bodi ya PBZ Abdurra-haman Mwinyi Jumbe, (Picha na Haji Nassor, Pemba)
KADHI wa Mahakama ya rufaa Zanzibar sheikh
Daud Khamis Salim, akitoa neno la shukuran, kwa niaba ya wateja wa Benki ya
watu wa Zanzibar, baada ya kumaliza futari ya pamoja iliondaliwa benki hiyo,
Idara ya Kiislamu na kufanyika mjini Chake chake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment