Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati)akishiriki katika swala ya magharibi iliyoswalishwa na Sheikh Jamal
Mohammed Abeid kabla ya futari iliyotayarisha kwa Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini
Pemba leo katika viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba
Waislamu
wa Vijiji mbali mbali katika Mkoa wa Kaskazini Pemba wakiwa katika swala ya
jamaa ya Magharibi katika viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba kabla ya
kushirikikatika futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein kwa wananchi hao leo,
Waislamu
na Waislamu wa Vijiji mbali mbali katika Mkoa wa Kaskazini Pemba wakiwa katika
futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein leo katika viwanja
vya Ikulu ya Wete Pemba
Waislamu na Waislamu wa Vijiji mbali mbali katika Mkoa wa Kaskazini Pemba
wakiwa katika futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
leo katika viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba
Akinamama
wa Vijiji tofauti vya Mkoa wa Kaskazini
Pemba wakiwa katika futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein leo katika viwanja vya Ikulu ya
Wete Pemba kwa wananchi hao
Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) Mkuu wa Mkoa wa Kusini
Pemba Mwanajuma Majid na Bi Mauwa Daftari wakiwa katika futari iliyofanyika leo
katika Ikulu ya Wete Pemba ambayo imetayarishwa kwa wananchi wa Mkoa wa
kaskazini Pemba
Mkuu
wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman alipokuwa akitoa neno la Shukurani kwa niaba ya wananchi wa Mkoa
huo baada ya futari ya pamoja iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Ikulu Wete
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein(kushoto) akiagana na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya futari
ya pamoja aliyoitayarisha leo katika viwanja vya Ikulu Wete
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein(kushoto) akiagana na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya futari
ya pamoja aliyoitayarisha leo katika viwanja vya Ikulu Wete
Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (kulia) akiagana na Akinamama wa Mkoa
wa Kaskazini Pemba baada ya futari
iliyofanyika leo katika Ikulu ya Wete
ambayo imetayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na familia yake kwa wananchi hao
Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (kulia) akiagana na Akinamama wa Mkoa
wa Kaskazini Pemba baada ya futari
iliyofanyika leo katika Ikulu ya Wete
ambayo imetayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na familia yake kwa wananchi hao, [Picha
na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment