RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya
Muungano Cup kwa Nahodha wa Timu ya Simba Mohammed Hussein, baada ya kuifunga
Timu ya Azam katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar,Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment