RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya
Muungano Cup kwa Nahodha wa Timu ya Simba Mohammed Hussein, baada ya kuifunga
Timu ya Azam katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar,Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment