RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya
Muungano Cup kwa Nahodha wa Timu ya Simba Mohammed Hussein, baada ya kuifunga
Timu ya Azam katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar,Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MAOFISA WA SERIKALI WANAOPINDISHA HAKI KUCHUKULIWA HATUA, TIMU YA SAMIA
LEGAL AID KUORODHESHA MAJINA YAO
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
MAOFISA wa Serikali watakaobainika kuhusika kuchochea migogoro mbalimbali
dhidi ya wananchi na kupelekea kuichukia Serikali wan...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment