RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya
Muungano Cup kwa Nahodha wa Timu ya Simba Mohammed Hussein, baada ya kuifunga
Timu ya Azam katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar,Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Elimu : Tazama Hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2025
-
Maktaba: Picha kwa Hisani ya Gadiola Emanuel - Hady Class 7 Mwaka 2017
Bofya Hapa Kutazama Matokeo
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2025
Wazal...
1 hour ago














No comments:
Post a Comment