Habari za Punde

Kongamano la Kupitia Muongozi wa Vyombo vya Habari Kuripoti Habari za Uchaguzi kwa Usawa katika Vyombo Vyao.

 KATIBU  Mtendaji wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Ndg Chande Omar, akizungumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wamiliki wa Vyombo vya Habari Zanzibar kuhusiana na kuripoti habari za uchaguzi kwa makini bila kutia utashi na upendeleo
 WASHIRI wa Kongamano la Siku moja kuzungumzia  kuripoti kwa habari za Uchaguzi Mkuu kwa Vyombo vya Habari, wakimsikiliza Katibu Mtendaji wa Tume ya Utangazaji Zanzibar, Ndg Chande Omar, akizungumza wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa sanaa rahaleo na kuhudhuriwa na Viongozi wa vyama vya siasa na wamiliki wa vyombo vya habari Zanzibar
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha UMD Zanzibar Ndg. Mohammed Omar , akichangia mada katika mkutano wa  Viongozi wa Vyama  Siasa na Wakuu wa Vyombo vya habari Zazibar kuzungumzia Muongozo wa Vyombo vya Habari kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa usawa na haki bila ya upendeleo wa chama chochote mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa sanaa rahaleo 
                          Mwakilishi wa Redio Coconut Fm akichangia katika mkutano huo.

Washiriki wakichangia mada zilizowakilishwa katika mkutano huo jinsi ya utendaji wa haki wakati wa kuripoti habari za Uchaguzi Zanzibar. 
Mmiliki wa Kambuni ya Zanzibar Cable Ndg Mohammed akichangia katika mkutano huo wa Viongozi wa Siasa na Wamiliki wa vyombo vya Habari Zanzibar kutenda haki na kuripoti yaliokuwa sahihi sio kupotosha jamii.kuripoti habari zisio sahihi.
        Mwakilishi mkutano hao akiwasilisha michango ya Group lao MKUwakati wa mkutano huo.
 

                 Mwandishi wa Gazeti la Zanzibar leo akichangia wakati wa mkutano huo
  Mshiriki kutoka Hits FM na Zanzibar Cable, Ndg Hafidh Kassim akichangia wakati wa Mkutano huo 
Katibu Mtendaji wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Ndg Chande Omar akizungumza na kujibu michango iliowasilishwa wakati wa mkutano huo na viongozi wa vyama vya Siasa Zanzibar.Mkutano huo umeandaliwa na Tume ya Utangazaji kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC.
Washiriki wakiwa katika ukumbi wa mkutano wakifuatia mada zilizowakilishwa na michango ya washiri kuboresha utendaji wa vyombo vya habari kutowa fursa sawa katika kutoa Taarifa za uchaguzi za ukweli. 
Washiriki wakiwa katika ukumbi wa mkutano wakifuatia mada zilizowakilishwa na michango ya washiri kuboresha utendaji wa vyombo vya habari kutowa fursa sawa katika kutoa Taarifa za uchaguzi za ukweli. 
Mkurugenzi Idara ya Habari Zanzibar Ndg Rafii Haji akitowa ufafanuzi wakati wa Mkutano huo wa Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wamiliki wa Vyombo vya habari Zanzibar kutowa fursa sawa kwa Vyama vyote wakati wa kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu mwaka huo unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2015. 
                                                           Washiriki wakifuatilia Mkutano huo
Washiri kutoa Vyama vya Siasa na Wamiliki wa Vyombo vya Habari Zanzibar na Waandishi wakifutalia Mada zinazotolewa wakati wa mkutano huo uliofanyika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.