Habari za Punde

Waalimu wa Somo la Uraia Mkoa wa Kaskazini Pemba Wapewa Elimu ya Urais

Afisa mdhamini wizara ya elimu na mafunzo ya amali, Pemba mwalimu Salim Kitwana Sururu, akifungua mafunzo ya siku mbili kwa walimu wa somo la uraia wa mkoa wa kaskazini Pemba, mafunzo yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar LSC tawi la Pemba, na kufanyika skuli ya sekondari Madungu, kulia na Mratibu wa kituo hicho Fatma Khamis Hemed, 
 Mratibu wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed akiwaonyesha waalimu wa somo la uraia wa Mkoa wa kaskazini Pemba, Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, kwenye mafunzo kwa waalimu hao yaliofanyika skuli ya sekondari Madungu mjini Chake chake, Pemba
 Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Mohamed Hassan Ali, akichambua serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, kwenye mafunzo ya siku mbili kwa waalimu wa somo la uraia wa mkoa wa kaskazini Pemba, yalioandaliwa na ZLSC na kufanyika skuli ya sekondari ya Madungu mjini Chake chake,    

 Baadhi ya waalimu wa somo la urai wa Mkoa wa kaskazini Pemba pamoja na watendaji wa wizara ya elimu, wakimsikiliza Afisa Mdhamini wiara hiyo, Salim Kitwana Sururu wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa waalimu hao, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika skuli ya sekondari Madungu,
 (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.