BAADHI ya wananchi wakimalizia kugawana samaki wao, baada ya kununua nje ya soko la Tumbe wilaya ya Micheweni Pemba, licha ya wavuvi kutakiwa kuhamia ndani ya soko lao jipya, kuanzia Julai 1 mwaka huu, huku wakiendelea na mgomo wao, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAVUVI wakiwa wameweka meza zao ufukweni wakiendelea
na kuuza samaki kama kawaida, licha ya kuwepo kwa amri ya kuhamia katika soko
jipya, ambapo wamesema hatohamia hadi madai yao ya mgao w amapato uwekwe sawa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Wa pauro, pauro hahitaji zana mpya
ReplyDelete