Habari za Punde

CCM Jimbo la Mfenesini lafunga kampeni

 Mgeni Rasmi Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharib Yussuf Mohd  Yussuf  akiwaonyesha Wananchi wa Shehiya ya Bumbwisudi mfano wa karatasi ya kupigia Kura kwa wagomebea Ubunge katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Bumbwisudi kwagoa Jimbo la Mfenesini.
Mgombea Uwakilishi CCM Jimbo la Mfenesini Machano Othman Said akizungumza na Wananchi wa Shehiya ya Bubwisudi na kuwaomba kura katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Bumbwisudi kwagoa.
 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa  Magharib Yussuf Mohd  Yussuf  akimnadi mgombea Uwakilishi Jimbo la Mfenesini Machano Othman Said katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Bumbwisudi kwagoa.
 Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Mfenesini Kanal mstaafu Masoud Ali Khamis akizungumza na Wananchi wa Shehiya ya Bumbwisudi na kuwaomba kura katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa bumbwisudi kwagoa. 

Aliyekuwa Mgombea Udiwani Wadi ya Bumbwisud kupitia ADC Makoe Makolea Mashimba akirudisha Kadi na kujiunga na CCM katika Mkutano wa kufunga Kampeni 2015 Uwanja wa Bumbwisud Jimbo la Mfenesini.


 PICHA NA ABDALLA OMAR-MAELEZO ZANZIBAR.



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.