MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Micheweni kwa tiketi ya
Chama cha ADC, Shoka Khamis Juma akiwaonyesha wananchi wa micheweni karatasi
yenye vipaombele vyake ili kuweza kumpigia kura.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
tiketi ya Chama cha ADC, Mhe:Chief Lutaresa Yemba akizungumza na wananchi wa
micheweni wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kiwanja cha
Shamemata Micheweni Kisiwani Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
tiketi ya Chama cha ADC, Mhe:Chief Lutaresa Yemba akizungumza na wananchi wa
micheweni wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho katika kiwanja cha
Shamemata Micheweni Kisiwani Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment