Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Dkt. Jakaya Kikwete. Mazungumzo hayo yaliyochukua muda wa dakika 50 yalifanyika Ikulu ya Rais Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4:24 asubuhi na kumaliza saa 5:14. (Picha na Salmin Said, OMKR)
BARRICK YAWEZESHA NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA KUWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI WA
VYUO VIKUU ZANZIBAR
-
Mkurugenzi wa Vijana,Wizara ya Habari,Vijana na Michezo Zanzibar,Shaibu
Ibrahim Muhamed ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea na Wanafunzi na wageni
waalikw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment