Hatimai Ule Muembe Njuguu ukistawi baada ya kupanda muembe huo hivi karibuni kurejesha ile mandhari ya eneo hili enzi hizo kulikuwa na muembe katika barabara hii inayounganisha barabara za mikunguni na kwenda kwa Mohamemd Ali na kwenda kwa Boko ukiwa katika hali hiyo na tayari ukiwac umeshakoa embe za mzao wa kwanza. ili kurejesha historia ya muembe huu.
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment