Hatimai Ule Muembe Njuguu ukistawi baada ya kupanda muembe huo hivi karibuni kurejesha ile mandhari ya eneo hili enzi hizo kulikuwa na muembe katika barabara hii inayounganisha barabara za mikunguni na kwenda kwa Mohamemd Ali na kwenda kwa Boko ukiwa katika hali hiyo na tayari ukiwac umeshakoa embe za mzao wa kwanza. ili kurejesha historia ya muembe huu.
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR- KAMPENI KIJIJI HADI KIJIJI- KIWANI PEMBA
-
Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani ndugu Hemed Suleiman Abdulla akizungumza
na kusiliza kero za wajasiriamali na vikundi vya ushirika katika kijiji
cha ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment