Mradi wa ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji kutoka katika uwanja wa mnazi mmoja ukiendelea na ujenzi wake unaofanywa na Kampuni ya Ujenzi ya Kichina ili kuurejesha katika hali yake na kutumika kwa muda wote kwa michezo katika uwanja huo.
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment