Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar Miembeni na Jangombe Boys Zimetoka sare ya 1--1

Mashabiki wa Timu ya Jangombe Boys wakishangilia timu yao baada ya kupata bao la kwanza katika kipindi cha pili wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan
Mashabiki wa Timu ya Jangombe Boys wakishangilia timu yao baada ya kupata bao la kwanza katika kipindi cha pili wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan







Mshambuliaji wa Timu ya miembeni akipiga mpira kichwa huku beki wa Timu ya Jangombe Boys akijiandaa kuokoa mpira huo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.