Aliyekuwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa
ni Katibu Mkuu, Ofisi
ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi wa Wizara ya
Mambo
ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano
uliofanyika katika Makao Makuu
ya Wizara hiyo. Katikati ni
Katibu Mkuu mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali
Projest
Rwegasira na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan
Simba Yahaya.
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Balozi Hassan Simba Yahaya,
akijitambulish kwa Watumishi
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, katika
mkutano
uliofanyika Makao Makuu ya Wizara hiyo.
Katikati ni Katibu
Mkuu wa Wizara, Meja Jenerali Projest Rwegasira na
kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak
Abdulwakil, ambaye sasa
ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu
wa Rais.
Watumishi
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwa katika mkutano wa kumuaga aliyekuwa
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, ambaye sasa ni Katibu Mkuu,
Ofisi ya Makamu wa Rais, na kuwakaribisha Katibu Mkuu mpya, Meja Jenerali
Projest Rwegasira na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya. Hafla hii ilifanyika katika Makao Makuu ya
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
No comments:
Post a Comment