Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa
na Michezo
Prof. Elisante Ole Gabriel kulia akiongea na Makamu wa Rais wa
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Bw. Salman Bin Ebrahim Al
Khalifa kushoto
kuhusiana na maendeleo ya michezo
nchini,katikati ni Rais wa Shirikisho la
mpira wa miguu Tanzania
Bw. Jamali Malinzi
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka
Duniani (FIFA) Bw.
Salman Bin Ebrahim Al Khalifa katikati akiongea na Katibu
Mkuu
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante
Ole Gabriel
kulia kuhusiana na maendeleo ya michezo nchini, wa
kwanza kushoto ni Rais wa
Shirikisho la mpira wa miguu
Tanzania Bw. Jamali Malinzi.
(Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
No comments:
Post a Comment