Habari za Punde

Waziri Aboud Azindua Mradi wa Umeme Kisiwani Pemba.


 WAZIRI wa nchi, ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud Mohamed akiondoa kitambaa kuashiri kuzinduwa umeme katika kijiji cha Kwasanani Mwambe wilaya ya Mkoani Pemba, ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar,
 WAZIRI wa nchi, Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud Mohamed akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa umeme katika kijiji cha Kwasanani Mwambe, ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar 
 ARAFA Hamad Juma mkaazi wa Jombwe Mwambe akisoma utenzi mara baada ya Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Mohamed Aboud kuzinduwa umeme katika kijiji cha kwasanani, ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za kutimiza miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar 
 MKUU wa Wilaya ya Mkoani Hemed Suleiman Abdalla akizungumza na wananchi wa Mwambe Kwasanani katika sherehe ya uzinduzi wa umeme
WAZIRI wa nchi ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe.Mohamed Aboud akizungumza na wananchi katika kijiji cha Mwambe Kwasanani, mara baada ya kuuzinduwa umeme, ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar (Picha na Habiba Zarali, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.