Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu cha 39 (2) cha Katiba ya Zanzibar ya 1984, amemteua Mhe Balozi Seif Ali Iddi kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Uteuzi huo umeanza leo 28,March 2016.
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt.Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM...
3 hours ago

Wapeana vyeo wenyewe kwa wenyewe kama huyajui uliza uambiwe si mageni hayo tulijua tu itakua hivyo
ReplyDelete