Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu cha 39 (2) cha Katiba ya Zanzibar ya 1984, amemteua Mhe Balozi Seif Ali Iddi kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Uteuzi huo umeanza leo 28,March 2016.
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa meng...
1 hour ago
Wapeana vyeo wenyewe kwa wenyewe kama huyajui uliza uambiwe si mageni hayo tulijua tu itakua hivyo
ReplyDelete