ALIEKUWA Mkuu wa Idara ya maendeleo ya wanawake na watoto
kutoka wizara ya wanawake na watoto Pemba, ambae kwa sasa ni Mkuu wa wilaya ya
Chakechake Salama Mbarouk Khatib, akizungumza kwenye hafla ya kumkabidhi Afisa mdhamini mpya wa wizara hiyo, Khadija Khamis Rajab, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAFANYAKAZI wa wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na
Watoto Pemba, waliohudhuria hafla ya kukukabidhiwa kwa Afisa Mdhamini mpya wa
wizara hiyo, Khadija Khamis Rajab hayupo pichani, hafla iliofanyika wizarani
hapo mjini Chakechake, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
AFISA Mdhamini wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto Pemba
Khadija Khamis Rajab, akisaini hati ya makabidhiano mara baada ya kukabidhiwa
wizara hiyo na aliekuwa mkuu wa Idara ya Maendeleo na wanawake na watoto wa
wizara hiyo, Pemba Salama Mbarouk Khatib, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
AFISA Mdhamini wizara ya Kazi,
Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto Pemba Khadija Khamis Rajab, akizungumza
na watendaji wa wizara hiyo, muda mfupi mara baada ya kukabidhiwa wizara hiyo
na aliekuwa mkuu wa Idara ya Maendeleo na wanawake na watoto wa wizara hiyo,
Pemba Salama Mbarouk Khatib, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment