Habari za Punde

Upandaji miti ya mikandaa katika bonge la Msiyakwe, shehia ya Wambaa, Pemba

 MRATIBU wa Jumuiya ya JISEUMA ya Kisiwa Pemba Kisiwani Pemba, Juma Ali Mati akiwaonyesha viongozi wa Jumuiko la Mabadiliko ya Tabia ya Nchi ZACCA, juu ya aina mbali mbali za miti ya mikandaa iliyokuwa bora zaidi kupanda, mara baada ya kuwasili katika bonde la Msiyakwe Wambaa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
 SUALA la Mabadiliko ya Tabia ya nchi limekuwa likiathiri miti ya aina mbali mbali, picha miti aina ya mikoko ikiwa imekufa katika bonde la Msiyakwe sheria ya Wambaa Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
 VIONGOZI wa Jumuiko la Mabadiliko ya Tabia ya nchi Zanzibar ZACCA, wakiungana na wanakikundi cha uhifadhi mazingira shehia ya Wambaa, kwa kupanda miti ya mikandaa katika bonge la msiyakwe.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
VIONGOZI wa Jumuiko la Mabadiliko ya Tabia ya nchi Zanzibar ZACCA, wakiungana na wanakikundi cha uhifadhi mazingira shehia ya Wambaa, kwa kupanda miti ya mikandaa katika bonge la msiyakwe.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)..
 SUALA la Mabadiliko ya Tabia ya nchi limekuwa likiathiri miti ya aina mbali mbali, picha miti aina ya mikoko ikiwa imekufa katika bonde la Msiyakwe sheria ya Wambaa Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).

 VIONGOZI wa Jumuiko la Mabadiliko ya Tabia ya nchi Zanzibar ZACCA, wakiungana na wanakikundi cha uhifadhi mazingira shehia ya Wambaa, kwa kupanda miti ya mikandaa katika bonge la msiyakwe.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
 MWENYEKITI wa kikundi cha Umoja Wetu Mohamed Juma Hamad, kinachojishuhulisha na upandaji wa miti ya mikoko, kwa lengo la kuzuwia mabadiliko ya Tabia ya nchi, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza zoezi la upandaji wa miti hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
 KATIBU mkuu wa Jumuiko la mabadiliko ya Tabia ya nchi Zanzibar ZACCA, Iddi Shaban Idd akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa zoezi loa upandaji wa miti ya mikandaa katika bonde la Msiyakwe Wambaa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
AFISA mipago wa Jumuiko la mabadiliko ya Tabia ya nchi Zanzibar ZACCA, Mustafa Iman akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa zoezi loa upandaji wa miti ya mikandaa katika bonde la Msiyakwe Wambaa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.