Ligi kuu ya soka Zanzibar hatua ya nane bora itaendelea tena kesho kwa michezo miwili.
Kwenye dimba la FFU Finya, African Kivumbi itaumana na Jamhuri huku uwanja wa Amaan ukizikutanisha klabu za maafande za KVZ dhidi ya Zimamoto.
Kocha wa klabu ya KVZ Abdulghan Himid Msoma alisema pambano hilo litakua na upinzani mkali kutokana na kikosi chake kupoteza mchezo wa awali kwenye hatua hii ya nane bora kwa kichapo cha bao mbili kwa bila.
Kabla ya michezo hiyo ya kesho msimamo wa ligi upo kama hivi:
POS
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
GD
|
PTS
|
1
|
ZIMAMOTO
|
11
|
8
|
2
|
1
|
25
|
7
|
18
|
26
|
2
|
KVZ
|
10
|
7
|
2
|
1
|
18
|
6
|
12
|
23
|
3
|
JKU
|
11
|
6
|
3
|
2
|
26
|
7
|
19
|
21
|
4
|
MAFUNZO
|
11
|
5
|
2
|
4
|
20
|
12
|
8
|
17
|
5
|
CHIPUKIZI
|
11
|
4
|
1
|
6
|
15
|
19
|
-4
|
13
|
6
|
JAMHURI
|
11
|
3
|
3
|
5
|
9
|
13
|
-4
|
12
|
7
|
MWENGE
|
10
|
2
|
3
|
5
|
11
|
18
|
-7
|
9
|
8
|
AFR/KIVUMBI
|
11
|
-
|
-
|
11
|
6
|
48
|
-42
|
-
|
Jumla ya mabao 130 yamefungwa kupitia michezo 43 ambayo imeshachezwa
|
No comments:
Post a Comment