MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid
Abdalla, akizungumza na wananchi wa Chake Chake wakati wa Uzinduzi wa Ofisi ya
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za maji na nishati Zanzibar (ZURA) mjini Chake
Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) JOB OPPORTUNITIES The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public University in...
-
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Hamad Rashid Mohamed akitowa taarifa ya mwenendo wa maradhi ya Corona Nchini ya kuthibitika kwac Wagonjwa 23 ...
-
Dar es Salaam. 28-10-2025 Tanzania Bloggers Network (TBN) inatoa pongezi za dhati kwa Watanzania wote, wagombea, vyama vya siasa, Tume Huru ...
Home
HABARI
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba azindua Ofisi ya mamlaka ya udhibiti wa huduma za Maji na Nishati ( ZURA) Tibirinzi, Pemba
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba azindua Ofisi ya mamlaka ya udhibiti wa huduma za Maji na Nishati ( ZURA) Tibirinzi, Pemba
MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid
Abdalla, akizindua Ofisi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati
Zanzibar (ZURA) iliyopo Tibirinzi Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
NAIBU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za
Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), Hemed Salim Hemed, akifahamisha jambo Mkuu wa
Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdall, wakati alipokuwa akikagua
Ofisi hiyo baada ya kuizinduwa rasmi Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
NAIBU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za
Maji na Nishati Zanzibar (ZURA)Hemed Salim Hemed, akitoa maelezo kwa Mkuu wa
Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla wakati alipokuwa akikagua
ofisi hiyo ya ZURA Chake Chake Pemba, kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya
Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Mhe:Ali Khalili Mirza.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MSOMAJI Utenzi maarufu Kisiwani Pemba Halima,
akighani Utenzi katika hafla ya Uzinduzi wa Ofisi ya Mamlaka ya Udhibiti wa
Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA)iliyofanyika Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WANANCHI mbali mbali wa Wilaya ya Chake Chake
wakifuatilia kwa makini Uzinduzi wa Ofisi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za
Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), Uzinduzi huo uliofanyika katika Ofisi hizo
Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
NAIBU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za
Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), Hemed Salim Hemed akizungumza na wananchi wa
Wilaya ya Chake Chake mara baada ya uzinduzi wa ofisi hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za
Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), Haji Kali Haji akitoa taarifa ya kitaalamu
katika uzinduzi wa Ofisi ya mamlaka hiyo Mjini Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma
za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), Mwalim A. Mwalimu akitoa salamu za bodi ya
mamlaka hiyo wakati wa uzinduzi wa Ofisi hiyo huko Chake Chake .(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na
Mazingira Zanzibar Mhe:Ali Halil Mirza akizungumza na wananchi wa Chake Chake
wakati wa uzinduzi wa ofisi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati
Zanzibar (ZURA)iliyopo Mjini Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar, wakifuatilia kwa makini hutuba ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba
Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Chake
Chake katika uzinduzi wa Ofisi ya ZURA Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - [image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muun...22 hours ago
-
Meridianbet Yaendeleza Mapambano Dhidi Ya Saratani Ya Matiti - KILA mwezi wa Oktoba, rangi ya waridi huvaa sura mpya duniani kote, ni mwezi wa kuhamasisha mapambano dhidi ya saratani ya matiti. Kwa Meridianbet, huu s...1 week ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...

No comments:
Post a Comment