Habari za Punde

Naibu Katibu Mkuu wa Wazazi azindua Ofisi ya Jumuiya ya Wazazi Mkoa Magharibi, Mwera.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wazazi Taifa Najma Murtaza Giga akizungumza na viongozi wa CCM mkoa Magharibi Kichama baada ya kuzindua Ofisi ya Jumuiya ya Wazazi Mkoa Magharibi,  Mwera.
 Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Najma Murtaza Giga akizungumza na viongozi wa CCM na Jumuiya ya Wazazi baada ya kuzindua Ofisi ya Jumuiya hiyo Mkoa Magharibi Mwera.

Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Najma Murtaza Giga akimkabidhi Komputer na Printer Katibu Mkuu wa  Wazazi wa Mkoa wa Magharibi kichama Mohd Abdi baada ya kuzindua Ofisi ya Jumuiya hiyo huko Mwera.

 Viongozi waliohudhuria hafla hiyo wakifuatilia hotuba ya Naibu Katibu Mkuu wa Wazazi Najma Murtaza Giga  wakati wa uzinduzi wa Ofisi ya Jumuiya hiyo mkoa wa Magharibi.
Picha na Salmin Said Nasor/Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.