Habari za Punde

Tathmini ya Hijja kupitia taasisi ya Al Haramain Development Foundation yafanyika Pemba


Msikiti wa Ibadhi Mkanjuni Pemba, ambao ilifanyika tathmini ya Hijja kwa mwaka 2016 , kupitia taasisi ya kusafirisha Mahujaji ya Al-haramain Development Foundation -Hajj Group.






Baadhi ya Mahujaj waliohudhuria Kikao cha Tathmini ya Safari za Hijja zinazosimamiwa na taasisi ya Al-Haramain huko katika msikiti wa Mkanjuni Pemba. 

 Katibu wa Jumuiya ya kusafirisha Mahujaji ya Al-haramain , Hassan Rashid Moh'd, akisoma Risala ya Jumuiya hiyo kwa Mahujaj- Kisiwani Pemba.
 Baadhi ya Mahujaj waliohudhuria Kikao cha Tathmini ya Safari za Hijja zinazosimamiwa na taasisi ya Al-Haramain huko katika msikiti wa Mkanjuni Pemba. 
 Baadhi ya Hajjat waliohudhuria kikao cha tathmini ya Safari ya Hijja,zinazosimamiwa na taasisi ya Al-Haramain huko katika msikiti wa Mkanjuni Pemba.


Baadhi ya Hajjat waliohudhuria kikao cha tathmini ya Safari ya Hijja,zinazosimamiwa na taasisi ya Al-Haramain huko katika msikiti wa Mkanjuni Pemba.


Picha nn Bakar Mussa -Zanzibarleo - Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.