Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakifanya usafi katika eneo la kijangwani baada ya kuhama wafanyabiashara za mbao katika eneo hilo ili kupita ujenzi wa kituo cha kisasa cha daladala katika eneo hilo zamani kulikuwa na kituo cha mabasi.
TANZANIA NA JAMHURI YA CZECH ZASAINI MKATABA WA KUONDOA UTOZAJI KODI YA
MAPATO MARA MBILI NA KUZUIA UKWEPAJI WA KODI
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) na Balozi wa
Jamhuri ya Czech nchini Tanzania mwenye makazi yake ya kudumu
Nairobi-Kenya, Mh...
7 minutes ago
Tunaishukuru serikali, najua piapatajengwa na maduka, isije kuwekwa office za kisiasa tu,serikali itakuwa haitutendei haki,jengine kabla ya ujenzi tupate hio planning ya kituo tutoe maoni yetu
ReplyDelete