Wafanyabiasha wa mbao na miti katika eneo la kijangwani Unguja tayari wametekeleza amri ya kuhama katika eneo hilo na kuhamia katika sehemu waliopangiwa barabara ya daraja bovu kuaza kufanya biashara zao. Kupisha eneo hilo kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha gari za daladala.
TASAC YATOA MAFUNZO KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI MAJINI
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) jana tarehe 16 Septemba, 2025
lilifanya mafunzo ya usalama na utunzaji wa mazingira majini kwa wadau wa
usaf...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment