Wafanyabiasha wa mbao na miti katika eneo la kijangwani Unguja tayari wametekeleza amri ya kuhama katika eneo hilo na kuhamia katika sehemu waliopangiwa barabara ya daraja bovu kuaza kufanya biashara zao. Kupisha eneo hilo kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha gari za daladala.
ASANTENI WANA RUANGWA - MAJALIWA
-
Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa, akiwa katika
picha ya pamoja na baadhi ya watia nia wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Ruangwa
Julai...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment