Wananchi na Wanafunzi wa Vyuo mbalimbali Zanzibar wakipata huduma ya Wifi katika viwanja vya bustani ya Mapinduzi Square Michenzani inayotolewa na Kampuni ya Zanlink Zanzibar kwa jamii kujipatia huduma hiyo bure kupata habari mbalimbali kupitia katika simu zao wanapofika katika eneo hilo kwa ajili kupata habari zinazotokea sehemu mbalimbali duniani kama walivyokutwa jioni hii wakiwa bizz kupata habari.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment