Wananchi na Wanafunzi wa Vyuo mbalimbali Zanzibar wakipata huduma ya Wifi katika viwanja vya bustani ya Mapinduzi Square Michenzani inayotolewa na Kampuni ya Zanlink Zanzibar kwa jamii kujipatia huduma hiyo bure kupata habari mbalimbali kupitia katika simu zao wanapofika katika eneo hilo kwa ajili kupata habari zinazotokea sehemu mbalimbali duniani kama walivyokutwa jioni hii wakiwa bizz kupata habari.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment