Wananchi na Wanafunzi wa Vyuo mbalimbali Zanzibar wakipata huduma ya Wifi katika viwanja vya bustani ya Mapinduzi Square Michenzani inayotolewa na Kampuni ya Zanlink Zanzibar kwa jamii kujipatia huduma hiyo bure kupata habari mbalimbali kupitia katika simu zao wanapofika katika eneo hilo kwa ajili kupata habari zinazotokea sehemu mbalimbali duniani kama walivyokutwa jioni hii wakiwa bizz kupata habari.
JUBILEE INSURANCE WAZINDUA OFİSİ YAO MPYA FAYKAT TOWER
-
Na Mwandishi Wetu
JUBILEE Insurance (Jubilee Life na Jubilee Health) leo Novemba 17,2025
wamezindua rasmi ofisi yao mpya iliyopo ghorofa ya tatu jengo l...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment