Wananchi na Wanafunzi wa Vyuo mbalimbali Zanzibar wakipata huduma ya Wifi katika viwanja vya bustani ya Mapinduzi Square Michenzani inayotolewa na Kampuni ya Zanlink Zanzibar kwa jamii kujipatia huduma hiyo bure kupata habari mbalimbali kupitia katika simu zao wanapofika katika eneo hilo kwa ajili kupata habari zinazotokea sehemu mbalimbali duniani kama walivyokutwa jioni hii wakiwa bizz kupata habari.
DKT. MWIGULU AWATAKA WATUMISHI WA WIZARA YA FEDHA KUZINGATIA MISINGI YA
KAZI NA UTAWALA BORA
-
Na. Ramadhani Kissimba na Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewataka Watumishi
wa Wizara ya Fedha...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment