Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Tunguu wakishirki katika Hafla ya kuwaaga Walimu skuli ya Jumbi na kumpongeza mwanafunzi aliyebahatika kujiunga na mchepuo.
Baadhi ya Walimu na Wazee waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya skuli ya Jumbi
Mwanafunzi Abdulkadir Mwinyi Simai akizawadiwa shs 100,000/- (laki moja) na Mbunge wa Tunguu kwa niaba ya Mwakilishi na Mbunge.
No comments:
Post a Comment