Habari za Punde

BW. WASIA MAYA NA BI. LAILA MARTIN WAMEREMETA HOUSTON, TEXAS

Happy New Year .
Siku ya Alhamis tarehe 29/12 Bw. Wasia Maya kutoka mjini Houston , Texas aliamua kuachana na kambi ya makapera na kufunga ndoa na Bi. Laila Martin. Harusi hiyo ilifanyika nyumbani kwa Bw. Wasia na kuhudhuriwa na Watanzania wengi waishio katika jiji la Houston na miji ya jirani. Ijumaa ya tarehe 30/12 kulifanyika Nikka Dinner katika ukumbi wa Pakwan uliopo kwenye makutano ya barabara za HW6 na Beechnut . Pata picha za Harusi na Nikka Dinner hapa chini.
Bw. Wasia na Bi. Laila siku ya ndoa yao
Maharusi wakiwa na sura za furaha 




Bw. Wasia na mkewe Bi. Laila
Bibi Harusi Bi. Laila


Bw. Wasia

Bi. Laila





Bw. Wasia akiwa kaka Said Nassor

Kaka Mohamed Msika , Bw. Wasia Maya na kaka Said Nassor


Maharusi
Kaka Ally Mjungu akiwa na Bw. Wasia Maya




Kaka Ally Mjungu , Bw. Wasia Maya na Uncle Shebby Pambwe





Bwana Wasia akiozeshwa 

















The 1st kiss























NIKKA DINNER


Kaka Ramadhan Machapati, Kaka Kassim Daffa na Kaka Abdul


Bi. Amina na Bi. Zainab































































































No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.