Habari za Punde

Mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar SUZA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar "SUZA" (wa pili kushoto) akifuatana  na Makamo Mkuu wa Chuo Prof. Idriss Ahmada Rai pamoja na Viongozi wengine katika Gwaride la maandamano wakati wa   sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja (kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
 Baadhi ya Wahadhiri na wanataaluma wakiwa katika Gwaride la maandamano wakati wa   sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar "SUZA" ,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
 Baadhi ya wanataaluma wakiwa katika Gwaride la maandamano wakati wa   sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar "SUZA" ,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
Baadhi ya wanataaluma wakisimama wakati mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar "SUZA" alipowasili katika viwanja vya kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja palipofanyika Mahfali ya kumi na mbili ya Chuo hicho leo ,ambapo Wahitimu mbali mbali walitunukiwa Vyeti,Stashahada na Shahada ,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.

 Wahitimu wa Shahada ya Sayansi na Elimu  walipotunukiwa shada yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA)  katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
 Wahitimu wa Shahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira walipotunukiwa shada yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA)  katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar "SUZA" (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa   katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.]21/01/2017.
Baadhi ya Viongozi mbali mbali wa Serikali wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa   katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya Chuo Kikuu cha Taifa cvha Zanzibar "SUZA"  yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja ambapo mgeni rasmi akiwa , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar "SUZA"[Picha na Ikulu.]21/01/2017.

  
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akimtunuku Shahada ya Uzamivu ya Kiswahili "DOCTOR OF PHILOSOPHY IN KISWAHILI" 2015/2016 Bw.Hussein Ali Hussein katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja (kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akimtunuku Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Kemia "MASTER OF SCIENCE IN CHEMISTRY"Nd.Issa Juma Salim katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akimtunuku Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Mazingira  "MASTER OF SCIENCE IN ENVIROMENTAL SCIENCE" Saklim Masoud Msabaha  katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017. 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kutoa hutuba yake kwa wananchi  katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.