Habari za Punde

Mwenyekiti wa NEC atoa taarifa ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Dimani na kata 19 za udiwani Tanzania Bara

  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Memistocles Kaijage akizungumza na wandishi wa Habari kuhusu upigaji kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Dimani Zanzibar pamoja na Kata 19 za Udiwani Tanzania Bara utakaofanyika  Januari 22/2017. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Rahaleo Mjini Zanzibar.
 Muandishi wa habari Rahma Suleiman akiuliza swali kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Memistocles Kaijage katika mkutano wake na wandishi wahabari uliofanyika katika ukumbi wa  Rahaleo.
 Mkurugenzi wa huduma za sheria Tume ya Taifa ya Uchaguzi Emanuel Kawishe akitoa ufafanuzi wa  maswali yaliyoulizwa na waandishi wa habari katika Mkutano huo.

Baadhi ya waandishi wa habari walioshiriki mkutano wa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi uliofanyika Ukumbi wa Rahaleo Mjini Zanzibar wakifuatilia mkutano huo.
Picha na Makame Mshenga Maelezo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.