Beki wa Timu ya Zimamoto mwenye jezi ya njano Suleiman Sheha na Mshambuliaji wa Timu ya Azam Yahya Mohammed wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa michuano ya Kombe la Mapinduzi Kundi B, wakiwania mpira. Katika mchezo huo Timu ya Azam imeshinda kwa bao moja lililofungwa na mshambuliaji Shabani Iddi katika dakika ya 79 ya kipindi cha pili baada ya kumpiga kazu kipa wa timu ya Zimamoto Hassan Jumanne.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment