Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Mahmoud Thabit Kombo akikabidhiwa funguo za magari 6 kwa ajili ya Wizara ya Afya Zanzibar, Gari 4 za Kubebea Wagonjwa na 2 kwa Ajili ya Uratibu wa Vifaa Tiba kwa Wizara ya Afya, akikabidhi magari haro Kaimu Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa Linaloshughulikia Idadi ya Watu Ulimwenguni (UNFPA) Dr. Hashima Begum. hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Zanzibar.
MADEREVA BODABODA JIJINI DODOMA WAKABIDHIWA VYETI BAADA YA KUPATIWA MAFUNZO
YA USALAMA BARABARANI
-
Na Mwandishi Wetu,Dodoma
MADEREVA bodaboda 145 katika Jiji la Dodoma- wamepatiwa mafunzo ya usalama
barabarani awamu ya pili yalioanza Aprili 15 Aprili n...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment