Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Issa Haji Gavu akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Generali Rojestus
Rwegasira, alipowasili kastikas viwanja vya Kituo cha Polisi Jambiani Wilaya ya Kusini Unguja kwa ajili ya uzinduzi wa Kituo hicho kilichojengwa kwa udhamini wa Kampuni ya Penny Royal Zanzibar. kwa ajili ya wananchi wa jambiani
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi MheIssa Issa Haji Gavu akikata uteke kuashiria kukifungua Kituo cha Polisi Jambiani Wilaya ya Kati Unguja,kilichojengwa kwa uhisani wa kampuni ya pannyroyal, akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Generali Rojestus Rwegasira,hafla hiyo imefanyika katika eneo la kituo hicho jambiani
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi MheIssa Issa Haji Gavu akikata uteke kuashiria kukifungua Kituo cha Polisi Jambiani Wilaya
ya Kati Unguja,kilichojengwa kwa uhisani wa kampuni ya pannyroyal, akiwa na
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Generali Rojestus
Rwegasira,hafla hiyo imefanyika katika eneo la kituo hicho jambiani
No comments:
Post a Comment