Pata fursa ya kusikiliza wimbo mpya wa asili ya kisukuma kutoka kwa mwanamuziki Seko Bway. Wimbo unaitwa Nzugwi na umeimbwa kwa vionjo vya muziki wa kisasa. Umetengenezwa na King Fenya kutoka Mbunda Records ya Jijini Mwanza.
Bonyeza hapa kusikiliza
Mradi wa Africa Bridge Kusaidia Watoto Wanaoishi Kwenye Mazingira Magumu
Nchini
-
Mwandishi wa kitabu cha “And the Children Shall Lead Us” Barry Childs
(katikati) akionyesha nakala ya kitabu hicho katika hafla ya uzinduzi
iliyofanyika...
57 seconds ago
No comments:
Post a Comment