Habari za Punde

Matukio ya Picha Kisiwani Pemba

KITAWI cha mti wa mkarafuu kikiwa na karafuu changa mzao wa mwaka, ambapo taarifa zinaeleza kuwa, mzao huo, unatarajiwa kuwa mzuri kwa mwaka huu, na miezi saba ijayo zinatarajiwa kuvunwa
WASANII kutoka mji wa Wete kisiwani Pemba, wakipamba maadhimisho ya siku ya wanawake yaliofanyika kiwanda cha mafuta ya makonyo Wawi Chakechake na kuhutubiwa na Mkuu wa mkoa wa kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdall
WASANII kutoka mji wa Wete kisiwani Pemba, wakipamba maadhimisho ya siku ya wanawake yaliofanyika kiwanda cha mafuta ya makonyo Wawi Chakechake na kuhutubiwa na Mkuu wa mkoa wa kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdall
MWANDISHI wa kituo cha redio cha ZENJ FM Pemba Is-haka Mohamed Rubea, akizungumza na dereva wa ‘TAX’ Shemsa Hakim Khamis, kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliofanyika Chakechake Pemba
MWANDISHI wa sauti ya Isti-qama kituo Pemba Salmin Juma Salmin, akizungumza na dereva wa ‘TAX’ Shemsa Hakim Khamis, kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliofanyika Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.