Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Kitaifa ya Viongozi wa Dini Zanzibar Sheikh Salim Mohammed Hassan, akizungumza na waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali vioko Zanzibar kuhusiana na Kauli ya Rais wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliotangaza kupiga vita dhidi ya janga la Taifa la madawa haramu ya kulevya na kuwasaka na kuwakamata wauzaji na wasambazaji, bila kujali wasifu wao vyeo na nafasi zao. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Idara ya michezo mwanakwerekwe Zanzibar.
MKUTANO MKUU WA ALAT 2024; WAZIRI MCHENGERWA ATEMBELEA BANDA LA PSSSF
-
ZANZIBAR
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma umeshiriki kwenye Mkutano
Mkuu wa 38 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT) uliofanyika ji...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment