Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Kitaifa ya Viongozi wa Dini Zanzibar Sheikh Salim Mohammed Hassan, akizungumza na waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali vioko Zanzibar kuhusiana na Kauli ya Rais wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliotangaza kupiga vita dhidi ya janga la Taifa la madawa haramu ya kulevya na kuwasaka na kuwakamata wauzaji na wasambazaji, bila kujali wasifu wao vyeo na nafasi zao. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Idara ya michezo mwanakwerekwe Zanzibar.
KATIBU MKUU WA MADINI ATEMBELEA BANDA LA TUME YA MADINI KWENYE MAONESHO YA
MADINI GEITA
-
Geita, Septemba 22, 2025
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba, ametembelea Banda
la Tume ya Madini katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment