Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Kisiwani Pemba Mhe. Faida Mohammed Bakari, akimsalimia Mzee Muasisi wa ASP na CCM Bi. Shinuna Salum Ali nyumbani kwake Wilaya ya Mkoani Pemba akiwa katika ziara yake kuwatembelea Wazee wa CCM kuwasalimia na kuwajulia hali zao
Picha na Habiba Zarali -Pemba.
No comments:
Post a Comment