Habari za Punde

Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Faida Mohammed Bakari Atembelea Wazee Waasisi wa CCM.


Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Kisiwani Pemba Mhe. Faida Mohammed Bakari, akimsalimia Mzee Muasisi wa ASP na CCM Bi. Shinuna Salum Ali nyumbani kwake Wilaya ya Mkoani Pemba akiwa katika ziara yake kuwatembelea Wazee wa CCM kuwasalimia na kuwajulia hali zao
Picha na Habiba Zarali -Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.