Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni,akitembea kuelekea sehemu inayokaguliwa mizigo wakati wa ziara ya kutembelea Bandari ya
Zanzibar,ikiwa na lengo la kukagua mifumo ya udhibiti wa uingizwaji wa Dawa za Kulevya, huku akiliagiza Jeshi
la Polisi Zanzibar, kushirikiana na Uongozi wa Bandari kuhakikisha ukaguzi wa mizigo unafanyika ili kukomesha uingiaji wa dawa hizo ambazo humaliza nguvu kazi ya Taifa.Wa kwanza kulia ni Naibu
Waziri Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe.Mohamed Ahmada Salum na anayefuatia ni Mkurugenzi Mkuu Shirika la Bandari Zanzibar, Kapteni Mstaafu Abdula Juma
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza wakati wa ziara yake kutembelea Bandari ya Zanzibar,
ikiwa na lengo la
kukagua mifumo ya udhibiti wa uingizwaji wa Dawa za Kulevya akiliagiza Jeshi la Polisi
Zanzibar kushirikiana na Uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar, kuhakikisha ukaguzi wa mizigo unafanyika ili kukomesha uingiaji wa dawa hizo ambazo humaliza nguvu kazi ya Taifa.Wa kwanza kushoto ni Naibu
Waziri Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar,Mhe.Mohamed Ahmada Salum na anayefuatia ni Mkurugenzi Mkuu Shirika la Bandari Zanzibar,
Kapteni Mstaafu Abdula Juma
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni, akikagua jinsi ya ukaguzi wa mizigo unavyofanyi kakupitia komputa wakati wa ziara yake kutembelea Bandari ya
Zanzibar. kukagua mifumo ya udhibiti wa uingizwaji wa Dawa za Kulevya,na kuliagiza Jeshi
la Polisi Zanzibar
kushirikiana na Uongozi wa wa Shirika la Bandari kuhakikisha ukaguzi wa mizigo unafanyika ili kukomesha uingiaji wa dawa za kulevya kupitia bandarini na kutumika kwa vijana nguvu kazi la Taifa.Kulia ni Afisa wa Bandari anayeshughulikia ukaguzi,
Adam Masoud.
Mfanyakazi wa kitengo cha mizigo Bandari ya
Zanzibar, Saleh
Masoud akikagua moja ya mzigo ya abiria wanaoingia kupitia bandari hiyo ambapo Naibu Waziri
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,ameliagiza Jeshi la Polisi
Zanzibar
kushirikiana na Uongozi wa Bandari hiyo kuhakikisha ukaguzi wa mizigo unafanyika ili kukomesha uingiaji wa Dawa za Kulevya ambazo zimekuwa zikiharibu nguvu kazi ya Taifa
Mkurugenzi Mkuu Shirika la Bandari Zanzibar,
Kapteni Mstaafu Abdula Juma (wa pili kushoto), akimsikiliza Naibu Waziri Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, wakati wa ziara yake kutembelea bandari ya Zanzibar. Kukagua mifumo ya udhibiti wa uingizwaji wa Dawa za Kulevya huku akiliagiza Jeshi la
Polisi kushirikiana na Uongozi wa Bandari kuhakikisha ukaguzi wa mizigo unafanyika kwa makini ili kukomesha uingiaji wa dawa hizo ambazo humaliza nguvu kazi ya Taifa.Wakwanza kushoto ni Naibu
Waziri Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe.Mohamed
Ahmada Salum na wakwanza kulia ni Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Masoud Sururu.
Kifaa cha
kubebea kontena kikiwa kimebeba kontena tayari kupelekwa kwenye mashine maalumu ya ukaguzi ambayo hutumia mionzi kukagua mzigo uliopo ndani,ambapo Naibu Waziri Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi
kushirikiana na Uongozi wa Bandari ya Zanzibar
kukagua mizigo yote inayoingia ili kudhibiti uingiaji wa Dawa za Kulevya Visiwani
Zanzibar.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment