Wapendwa wateja
wetu,
Tunachukua
fursa hii kuwataarifu kuwa Benki Kuu ya Tanzania imeagiza benki zote kutumia
kadi za kisasa za ATM (EMV Chip Based Cards) zenye teknolojia ya hali ya juu katika
utunzanji wa kumbukumbu za mteja ili
kudhibiti uhalifu na wizi kupitia ATM.
Kutokana na
agizo hilo uongozi wa Benki unawaomba wateja wetu kurudisha ATM Kadi za zamani na kununua kadi
mpya za kisasa (EMV Chip Based Cards )
kupitia matawi ya Benki . Mwisho wa matumizi ya ATM kadi za zamani ni tarehe 30
Juni 2017.
Kwa maelezo
zaidi juu ya ununuwaji wa kadi mpya (EMV Chip Based Cards ) tafadhali tembelea
katika sehemu ya huduma ya wateja katika matawi yetu
Benki tunaendelea
kukupa huduma bora katika kila
sekta .
Benki ya
watu ,Chaguo la watu .
Mkurugenzi
Mtendaji
PBZ BANK LTD
S.L.P 1173
Zanzibar
Tanzania
No comments:
Post a Comment