Baadhi ya Maafisa wa Serikali wakiwa nje ya moja
ya duka lililokutwa na pombe kali ambayo Serikali imepiga marufu kutumika
mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Mwanasheria toka Baraza la
Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche akionesha kwa
waandishi wa habari moja ya pombe kali aina ya kiroba original zilizokamatwa
wakati wa operesheni inayoendelea mapema leo hii jijini Dar es Salaam wakati wa
siku ya nne ya operesheni ya kusaka wasambazaji wa kinywaji hicho ambacho
Serikali imepiga marufuku kutumika.
Mwanasheria toka Baraza la
Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche akionesha kwa
waandishi wa habari moja ya pombe kali aina ya kiroba original zilizokamatwa
wakati wa operesheni inayoendelea mapema leo hii jijini Dar es Salaam wakati wa
siku ya nne ya operesheni ya kusaka wasambazaji wa kinywaji hicho ambacho
Serikali imepiga marufuku kutumika.
Afisa Afya toka Manispaa ya
Kinondoni Bw. John Kijumbe (kilia) akichukua maelezo toka kwa mmiliki wa duka
la kuuza vinywaji la Vunja Bei salasala Store Bw. Oscar Mujuni (katikati)
wakati wa opereshe ya kusaka wauzaji wa pombe kali aina ya viroba ambayo Serikali
imepiga marufuku matumizi yake, kushoto ni Mwanasheria toka Baraza la Taifa la
Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche.
Mwanasheria toka Baraza la
Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche akifunga moja ya duka
la jumla la vinywaji mara baada ya msimamizi wa duka hilo kuwakimbia maafisa wa
Serikali wakati wa opereshe ya kusaka wauzaji wa pombe kali aina ya viroba
ambayo Serikali imepiga marufuku matumizi yake mapema hii leo jijini Dar es
Salaam ikiwa ni siku ya nne ya operesheni hiyo.
Mwanasheria toka Baraza la
Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche akionesha kwa
waandishi wa habari moja ya pombe kali aina ya Nguvu zilizokamatwa wakati wa
operesheni inayoendelea mapema leo hii jijini Dar es Salaam wakati wa siku ya
nne ya operesheni ya kusaka wasambazaji wa kinywaji hicho ambacho Serikali
imepiga marufuku kutumika.
Baadhi ya shehena ya pombe kali aina ya kiroba
zilizokamatwa katika ghala la Kampuni ya Love Kira Enterprises lililopo Wazo
jijini Dar es Salaam mapema hii
Msimamizi wa ghala la Love kira Enterprises lililopo Wazo Bi. Sia Mboya
(kushoto) akitoa maelekezo kwa Mwanasheria toka Baraza la Taifa la Usimamizi wa
Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche (katikati) wakati wa operesheni ya kuondoa
pombe hiyo katika soko, kulia ni Afisa Afya toka Manispaa ya Kinondoni Bw. John
Kijumbe.
Gari lililokutwa limebeba pombe
kali aina ya kiroba original likiwa limeegeshwa nje ya duka kuuza vinywaji la
Love Kira lililopo Wazo jijini Dar es Salaam mapema hii leo.
Picha zote na Eliphace Marwa -
Maelezo
No comments:
Post a Comment