Mmoja kati
ya majaji katika shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio cha
Efm na kudhaminiwa na Kampuni ya Zantel Said Mkumba (kulia) akimwonyesha kadi
ya njano mmoja ya washiriki katika mwendelezo wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’
iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini
Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani
ya Sh1.9 milioni baada ya kuibuka washindi.
Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume
walifuzu hatua ya mchujo.
Washirikiwa
shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio Efm na kudhaminiwa
na Kampuni ya Zantel wakichuana katika mwendelezo wa kampeni ya Shika Ndinga
iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini
Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani
ya Tsh1.9 milioni baada ya kuibuka na ushindi.
Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume
walifuzu hatua ya mchujo.
No comments:
Post a Comment