Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe, Mihayo Juma N'hunga (katikati)na Ujumbe wa Kamati ya Maendeleo Jimbo la Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,inayoongozwa na Mwakilishi wa Jimbo hilo Mhe, Simai Mohammed Said,(wa pili kushoto) wakiwa katika picha baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ofisini hapo kuhusu mustkabal wa matumizi ya fedha za maendeleo ya Jimbo ambazo zimetengwa kwa kipindi cha mwaka 2016/2017,[Picha kwa hisani ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais].
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment