Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe, Mihayo Juma N'hunga (katikati)na Ujumbe wa Kamati ya Maendeleo Jimbo la Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,inayoongozwa na Mwakilishi wa Jimbo hilo Mhe, Simai Mohammed Said,(wa pili kushoto) wakiwa katika picha baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ofisini hapo kuhusu mustkabal wa matumizi ya fedha za maendeleo ya Jimbo ambazo zimetengwa kwa kipindi cha mwaka 2016/2017,[Picha kwa hisani ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais].
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
5 hours ago

0 Comments