Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe, Mihayo Juma N'hunga (katikati)na Ujumbe wa Kamati ya Maendeleo Jimbo la Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,inayoongozwa na Mwakilishi wa Jimbo hilo Mhe, Simai Mohammed Said,(wa pili kushoto) wakiwa katika picha baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ofisini hapo kuhusu mustkabal wa matumizi ya fedha za maendeleo ya Jimbo ambazo zimetengwa kwa kipindi cha mwaka 2016/2017,[Picha kwa hisani ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais].
Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 pamoja na Taarifa ya Utendaji
Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka
2022/2023, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment