Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda kukalia kiti cha Uenyekiti alipomkabidhi wadhifa huo leo wakati wa Mkutano wa 18 wa Kawaida wa wakuu wa nchi za Jumuiya hiyo katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2017
Self MF kuwapa mikopo wajasiliamali wanaotumia nishati Mbadala
-
MENEJA wa Mfuko wa Self MF Kanda ya Kati Dodoma na Singida Aristid Tesha
amesema kuwa kwa sasa mfuko huo umeanzisha bidhaa mpya ambapo wanatoa
mikopo kwa w...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment