Wateja wa mtandao wa simu Zantel
sasa kufurahia mawasiliano na ndugu jamaa na marafiki waliopo mashariki ya kati kwa bei nafuu kwa kutumia kifurushi
cha kimataifa cha uarabuni.
Dar es Salaam, Mei 29 2017- Kampuni ya simu ya
Zantel inaendelea kutimiza ahadi yake ya kuongeza thamani katika maisha ya wateja wao na sasa kutangaza ofa maalum inayowalenga waumini wa dini ya Kiislamu nchini ili kuadhimisha mwezi mtukufu wa mfungo wa
Ramadhani duniani kote.
Akitangaza habari hii makao makuu ya kampuni ya
Zantel yaliyopo Msasani jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Bw. Benoit
Janin amesema “Ramadhani ni muda muafaka wa kujenga mahusiano mazuri na ndugu,
jamaa na marafiki na ofa hii ni ishara ya Zantel kuwasaidia wateja wake kuweza kuungana na kuwasilia na kurahisiASHA zaidi na wapendwa wao”.
Aliongeza kwa kusema mtandao wa
Zantel utaendelea kutoa huduma kwa mamilioni ya Watanzania kuwasaidia kutimiza malengo na ndoto zao kupitia vipengele mbali mbali vya huduma za kampuni hiyo ikiwa ni pamoja bidhaa na huduma za upigaji simu,
vifurushi vya internet na mtandao.
Alisema kampuni itahakikisha vyote hivi kwa kutoa huduma na bidhaa
bora za upigaji simu na vifurushi vya intaneti huku tukihakikisha tunawekeza faida endelevu.
Kwa mwaka 2016 kulikua na matatizo mbali mbali ila kwa sasa mkakati wetu ni kuhakikisha tunatoa vipaombele kwa vitu vyenye umuhimu mkubwa kwa wateja ikiwemo kuwa mtandao bora
unaotoa intaneti ya kasi zaidi wa 4G, kupenya na kuwafikia watumiaji wengi zaidi, na kujiandaa kwa siku zijazo kuwa kampuni ya bidhaa inayopendwa zaidi.
“Tunahitaji kuwatayari kwa siku zijazo kwa njia mbali mbali za kuongeza mapato pamoja na huduma zinazoongeza thamani ya mtandao wa zantel ikiwemo uboreshaji wa vifurushi vya intaneti,
tayari tunaona mabadiliko makubwa katika mtandao wetu ”aliongezea kwa kusema “Kutakua na bidhaa mbali mbali tutakazozitoa kipindi hiki zitakazofurahiwa na wateja wetu kukiwa na mpangilio wa ofa zilizoanza tarehe
24/05/2017”Aliongezea.
Akieleza zaidi kuhusu ofa hii,
Mkurugenzi wa masoko wa Zantel Bw. Gasper Mbowa amesema” Ofa hii ya Ramadhani
imelenga kuwazawadia wateja wetu wa malipo ya kabla watakaojiunga na vifurushi vyetu kwa kiasi chochote au kwa kuongeza muda wa maongezi kwenye kipindi
cha mfungo wa Ramadhani.
Mteja yoyote atakayeongeza muda wa maongezi atapata asilimia 50
ya muda wa maongezi moja kwa moja utakaomuwezesha kupiga simu Zantel kwenda Zantel,
ofa hii itakua inatumika kuanzia saa 5 usiku hadi saa 12 asubuhi.
Hivyo wateja wataweza kutumia huduma zetu zilizozinduliwa hivi karibuni kama
‘Zantel madrassa itakayowawezesha kujifunza dini ya kiislamu kwa kupokea mafunzo ya
Quran, hadithi, dua, habari za BAKWATA
na huduma nyingine nyingi kwa kupitia simu zao za mkononi kupitia ujumbe mfupi wa maneno au
kwa kupiga simu.
Mbowa aliongezea kuwa wateja wa
Zantel wanaweza kuwapigia simu ndugu, jamaa na marafiki waliopo mashariki ya kati kwa bei nafuu zaidi kupitia kifurushi
cha kimataifa cha uarabuni. “Kwa shilingi za kitanzania 2,000 wateja watapatadakika
4 zakupigasimu Qatar,Oman, UAE,Lebanon,
Pakistan, Yemen& Saudi Arabia, nakwashilingi 5,000 watapatadakika 7kupigasimukwendakwenyenchitajwa,
nafedhahizozitakatwamojakwamojakwenyeakauntizao”
Vifurushivyotehivivitapatikanakwakujiungakwakupiga*149*15#nakwavifurushivya‘BongaMpakabasi’,
‘Zantel Madrassa’ watejawatawezakujiungakwakutumaujumbewamanenokwakutumianeno SUBnakutumakwendanamba 15586 au
kwakupiganamba 15586
No comments:
Post a Comment