Mratibu wa Mradi wa Elimu ya Masomo ya Ziada kwa Wanafunzi wa Skuli za Mbuyu Tende na Kijini katika Kijiji cha Matemwe Wilaya ya Kaskazini A Unguja Ali Hamadi akizungumza na wazee wa watoto hao wakati wa mkutano wa kutowa maelezi jinsi ya maendeleo ya Watoto hao wanaopata masomo ya ziada ya Kiingereza na Hesabati kuwajengea uwezo katika masomo hayo.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment