Mratibu wa Mradi wa Elimu ya Masomo ya Ziada kwa Wanafunzi wa Skuli za Mbuyu Tende na Kijini katika Kijiji cha Matemwe Wilaya ya Kaskazini A Unguja Ali Hamadi akizungumza na wazee wa watoto hao wakati wa mkutano wa kutowa maelezi jinsi ya maendeleo ya Watoto hao wanaopata masomo ya ziada ya Kiingereza na Hesabati kuwajengea uwezo katika masomo hayo.
WAZIRI MAKAMBA-AFRICA50 WAJADALI NAMNA YA KUSHIRIKIANA KATIKA UTEKELEZAJI
WA MIRADI YA MAENDELEO
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January
Makamba (MP) akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Africa50, Bw. Alain
Ebobiss...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment