Habari za Punde

Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Mhe Ali Hassan Mwinyi Atembelea Banda la Kampuni ya Zantel Maonesho ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili wa Tanzania Mhe. Ally Hassan Mwinyi (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Data na Vifaa vya intaneti wa Zantel, Hamza Zuheri (wa tatu kushoto) juu ya huduma mbali mbali zinazotolewa na Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel jana jijini Dar es salaam baada ya kiongozi huyo kutembelea banda la Kampuni hiyo katika maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika jiji la Dar es salaam maarufu kama Saba saba yanayoendelea hivi sasa katika viwanja vya Mwl J.K Nyerere.
RaisMstaafuwaawamuya Pili wa Tanzania Mhe. Ally Hassan Mwinyi(katikati)akipatamaelezokutokakwaMenejawa Data naVifaavyaintanetiwaZantel, Hamza Zuheri (wa pili kushoto)juuyahudumambalimbalizinazotolewanaKampuniyaMawasilianoya Zantel janajijini Dar es salaam baadayakiongozihuyokutembeleabanda la Kampunihiyokatikamaonyeshoya 41 yaKimataifaya Dar es salaammaarufukamaSabasabayanayoendeleakatikaviwanjavyaMwlJ.K Nyerere.Kuliani Waziri waViwanda, BiasharanauwekezajiMhe. Charles MwijagenaMwenyekitiwabodiyaWakurugenziwaMamlakayaMaendeleonaBiasharanchini Christopher Chiza (wa pili kulia).
RaisMstaafuwaawamuya Pili wa Tanzania Mhe. Ally Hassan MwinyiakipatamaelezokutokakwaMfanyakaziwa Zantel FadhiliMfinanga (wa pili kushoto) juuyahudumambalimbalizinazotolewanaKampuniyaMawasilianoya Zantel janajijini Dar es salaam baadayakiongozihuyokutembeleabanda la Kampunihiyokatikamaonyeshoya 41 yaKimataifaya Dar es salaammaarufukamaSabasabayanayoendeleahivisasakatikaviwanjavyaMwlJ.K Nyerere.

MkaziwamkoawaMorogoro, Peter Albano akichangiadamukatikabanda la KampuniyaMawasilianoyaZantelalipotembeleabandahilojanajijini Dar es salaam ilikujioneahudumambalimbalizinazotolewanaKampunihiyo.Zantel kwakushirikiananaMpangowaTaifawadamuSalamawameandaautaratibuwauchangiajidamukwaajiliyakuokoamaishayawatuwenyeuhitajiwahudumahiyokatikakipindihiki chamaonyeshoya 41 yaKimataifaya Dar es salaammaarufukamaSabasabayanayoendeleakatikaviwanjavyaMwlJ.K Nyerere.AnayetoadamuniMsanifuMaabarakutokaHospitaliyaTaifayaMuhimbili, Sebastian Magulu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.